TEF WAFUNGULIA HABARI ZA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAULMAKONDA.
- Get link
- X
- Other Apps

Kulia
ni Mkurugenzi wa Vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge
Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo
wakati wa Jukwaa la wahariri kuondoa zuio kutotoa habari zamkuu wa ,Mkoa
wa Dar Es Salaam leo.

Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga akizungumza na
waandishi wa habari pamoja na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari
jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuondoa adhabu aliyopewa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambayo alikua nayo ikiwa Jukwaa hilo la
wahariri lilimfungia kwa kutokutoa habari yoyote kutoka kwa Mkuu wa
Mkoa wa Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Vipindi na uzalishaji wa
Clouds Media Group, Ruge Mutahaba.
Picha na Avila Kakingo, Blog ya Jamii.
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment