SIMBA WAKUTANA KUMPA TIMU MO DEWJI
Wanachama wa Klabu ya Simba wakijiandaa kwa ajili ya mkutano huo.
Kwa mara nyingine tena, Wanachama wa Klabu ya Simba wamekutana kufanya Mkutano Mkuu wa Klabu leo Jumapili kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyarere International Conference Centre) jijini Dar es Salaam.
Maanadalizi ya ya mkutano huo.
Ukumbi huo wa kisasa kabisa nchini upo maeneo ya Ocean Road, jirani na Chuo cha Usimamizi wa fedha (IFM), utakuwa unatumiwa kwa mara ya pili na klabu hiyo baada ya kutumika Jumapili iliyopita.
Wanachama wakijadiliana kabla ya mkutano huo.
Msemaji wa Simba, Haji Manara akizungumza.
Hali ilivyo ukumbini hapo.
Wanachama ni furaha kwenda mbele.
PICHA NA MUSA MATEJA | GPL
Comments
Post a Comment