Picha za Mazishi ya Mama Zari, Uganda
Mama Diamond (wa tatu kushoto) akiwa na mkwe wake, Zari (kushoto kwake).
Waombolezaji wakiswali msibani.
Kina mama wakiomboleza.
Hali ilivyokuwa nyumbani kwa mama Zari.
Kwa mujibu wa chanzo ndani ya familia hiyo, mama Zari alipata matatizo ya moyo na figo baada ya kuanguka ghafla na kichwa chake kujigonga, hali iliyosababisha akimbizwe hospitalini haraka.
Kaburi ambamo mwili wa marehemu utazikwa.
Waombolezaji wakijumuika na Zari na mama Diamond.
Chakula kikipakuliwa.
Dada wa Zari, Zuleha Hassan akiomboleza kifo cha mama yake.
Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa kwenye gari.
Jeneza likipelekwa eneo maalum kwa ajili ya kuagwa na kufanya taratibu za mazishi.
Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu.
Swala kwa ajili ya marehemu.
Kundi la matajiri lijulikanalo kama Rich Gang wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu.
Pumzika kwa Amani, Halima Hassan.
Comments
Post a Comment