BREAKING NEWS:MAKONTENA 10 YA KEMIKALI BASHIRIFU YAKAMATWA BANDARINI

Image result for MAKONTENA
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imekamata makontena 10 yenye lita 200,000 za kemikali bashrifu katika Bandari ya Dar es Salaam yenye ambayo yameingizwa kutoka nchini Swaziland kinyume cha sheria.

Comments

Popular posts from this blog