Yanayojiri Moshi Kwenye Mazishi ya Mzee Ndesamburo

MOSHI, KILIMANJARO: Viongozi wa CHADEMA pamoja na wananchi wakiwasili katika Usharika wa Kiboriloni kwa ajili ya ibada ya kumuombea aliyekuwa Mbunge wa Muda Mrefu wa Moshi Mjini na Muasisi wa chama marehemu Mzee Philemon Ndesamburo.


Maandalizi kanisani hapo.


Viongozi wa Chadema wakiwa wamejiandaa kuupokea mwili wa marehemu.

Kaburi ambamo atazikwa mzee Ndesamburo.

Comments

Popular posts from this blog