MSANII ESTER APANGIWA MJENGO NA MWANAUME

MSANII wa filamu za Kibongo, Ester Kiama anadaiwa kupangishiwa mjengo na mwanaume ambaye ni mume wa mtu aliyemhamisha kuĀ­toka Kijitonyama alikokuwa anaishi na kumwamishia Mbezi Beach.

Chanzo makini kilieleza kuwa kwa sasa Ester anaishi kwenye nyumba nzima yenye hadhi tofauti na alikokuwa akiishi mwanzo ambapo amelipiwa kodi ya mwaka mzima na mwanaume huyo.
Risasi Jumamosi lilimtafuta Ester ili kujibu tuhuma hizo na alipopatikana alikiri kuhamia Mbezi Beach kwenye nyumba nyĀ­ingine nzima lakini aliĀ­pinga suala la kupangĀ­ishiwa na mwanaume.
ā€œNinaishi Mbezi Beach kwa sasa ambaĀ­ko nimehamia hivi kariĀ­buni, habari za kwamba nimelipiwa kodi na mwanaume ni uongo, nimejilipia mwenyewe,ā€ alisema Ester.


Comments

Popular posts from this blog

Picha za nusu uchi za Msanii wa bongo movie akichezewa nyeti zake na wasanii wachanga