LADY JAY DEE AACHIPA PICHA ZA MJENGO WAKE MPYA
Mambo yanazidi kumnyookea mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee.
Msani huyo ameonyesha picha za mjengo wake mpya wa kisasa alioujenga ambao upo maeneo ya Kimara Temboni jijini Dar es Salaam.
Kupitia mtandao wa Instagram, mrembo huyo ameweka baadhi ya picha za jumba hilo na kuandika,“Jide
Ville.” Mashabiki wameanza kujiuliza, je huo ndio mjengo ambao yatakuwa
makazi mapya ya Jide na mpenzi wake Spicy kutoka Nigeria?
Comments
Post a Comment