Man United watambulisha uzi mpya kwaajili ya msimu ujao

 Manchester United mapemaa imeamua kuuweka hadharani uzi wake mpya wa msimu wa 2017/18.

Uzi huo unaonekana kurudisha kumbukumbu ya Man United kuhusiana na jezi za enzo hizoo wakati wa kipindi cha Alex Ferguson na wachezaji kama Ryan Giggs walikuwa wakichipukia.



Comments

Popular posts from this blog