HUMPHFEREY POLEPOLE AFUNGUKA HAYA KUHUSU MANGE KIMAMBI


Baada ya Pole pole kuandika hiyo post hapo juu ikiwa imemtaja Mange Kimambi, Mange akaamua kumtolea  uvivu kama ifuatavyo :
.
#Regrann from #mangekimambi_ - :

"PolePole Tokea uwe katibu uenezi wa CCM ile brain ya kuongea mapoint mazito mazito imetoweka kabisa Yani. Hivi PolePole unakumbuka ulivyokuwaga unawa-inspire watanzania kwa jinsi ulivyokuwaga unaongea mapoint mazitoooooo. Siku hizi unaongea kama Bashite. Huna point, unajibu vitu bila busara, unajibu mambo kiwepesi wepesi...
Hivi Kweli Polepole kweli kati ya yote niliyosema point kubwaaaaa uliyoiona wewe ni Mimi kusema Kinana ameacha kufanya kazi za Chama???? And it's 100% true kinana amegoma kufanya mambo ya chama mpaka Baba Bashite A.k.a mwenyekiti wa CCM akamueleze why alimuitia TISS. Kinana alishikiliwa Na TISS nyumbani kwake for over 2 weeks...
Kwa issue ya Kinana alivyokaaa vibaya kwa Sasa ilibidi nyinyi kama chama muwatoe hofu wana CCM Na watz kwa ujumla kwa kuweka wazi data kuwa siku ile Rais anasema kamtuma kinana india kwa matibabu Ni kweli alikuwa india mtaje na hospitali aliyokuwa amelazwa, aliondoka TZ tarehe ngapi kwa ndege gani Na alirudi lini after that itakuwa easy watu kuhakiki habari hizo..
Polepole naomba uongeeee hadharani kuwa Kinana hakuita mkutano na waandishi siku ile Na kwamba Hakuzuiliwa Na TISS nyumbani kwake na kwamba hakutolewa silaha na Tiss. Na kwamba hakuwahi kuwa under house arrest chini ya TISS.Hiyo ndo response Watanzania wanayoitaka Na sio unatoa Majibu mepesi mepesi yasiyo Na point like je nikokuonyesha picha za kinana akifabya kazi za chama utanipa nini? Yani umejibu ka mtoto wa miaka mitano. That's a shallow answer to such a deep issue? Tena kutoka kwa mtu uliekuwaga unachambua mambo kwa kina, ukituonyesha picha za zamani ukasema ni za recent tutajua vipi? Ndo maana nakwambia umetoa majibu shallow. Na kama alifanya lazma kulikuwa na media tuonyeshe link tukaangalie sio picha zako wewe za kuchomoa chini ya godoro, tunataka picha zilizokuwa released Na media. Ukinionyesha hizo ntakupa hii account iwe account ya CCM.
Kama wewe kweli unajiamini jibu mambo ya TISS. Najua you can't do that sababu ni ukweli Na unaogopa siku Kinana au Nape wakiamua kufunguka utaaibika so huwezi shubutu kusema Tiss hawajawahi kumzuia kinana..CCM jibuni issue ya TISS kumshikilia Kinana, sio mnakuja namajibu ya KiBashite." Mange Kimambi

Comments

Popular posts from this blog