BREAKING: AJALI NYINGINE DUMILA MOROGORO YAACHA MASWALI




Ikiwa bado watanzania tukiomboleza kutokana ajali ya jana mkoani Arusha iliyoondoka na wanafunzi 32, na kuacha majonzi kwetu na TAIFA ZIMA.
Habari za hivi punde toka Morogoro Dumila
Eneo la Kutoka mvomelo ukipita matuta ya mwanzo kabla hujafika Makunganya   kuna Gari ya abiria aina ya Eicher imegongwa na lori na inariportiwa kuwa hali mbaya sana.. Bado hakuna ripot ya kifo wala majeruhi
@afande Anna Job kajulishwa  
Tumwombe  Mungu atupiganie

Tarifa kamili baada ya muda mfupi ujao.. Tayari AKISI TV iko njiani kuelekea eneo la tukio kukupa habari zaidi.

Pia Tunarajia kupata taarifa kamili kutoka  jeshi la polisi.

Comments

Popular posts from this blog