HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA KUNYESHA


 Kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es salaam leo, soko la Sinza limelazimika kufungwa kwa muda kutoka na kujaa maji eneo lote la soko hilo.
 Barabara nyingi za Dar leo zimejaa maji, hali inayopelekea magari mengi 'kubuma' kama ionekanavyo pichani hapa.
Afande akitafakari jambo kufuatia uwingi wa maji katika barabara ya Bagamoyo eneo la Goigi jijiji Dar es salaam leo.
Wadau wakifanya mambo katika moja ya chemba iliyoziba kutoka na wingi wa uchafu uliokuwa umesombwa na maji hayo.
 Magari yote yamelazimika kupita upande mmoja wa barabara kutoka na wingi wa maji upande mwingine.

Comments

Popular posts from this blog