Tanzia: Mbunge Hafidh Ali Tahir Afariki Dunia
Marehemu pia alikuwa mwanamichezo, mwamuzi wa FIFA na mpenzi wa Klabu ya Yanga kindakindaki na ni jana tu alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Tawi la wabunge Wana-Yanga mjini Dodoma chini ya Uenyekiti wa Venance Mwamoto.
Taarifa zaidi kuhusu msiba huu zitatolewa hapo baadae.
Mhe. Spika anaungana na Wabunge wote katika kuomboleza msiba huu.
Comments
Post a Comment