Sitta Azikwa Nyumbani Kwao Urambo Tabora

picha-jamanijamani
picha-tenaWananchi wa Urambo wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel John Sitta.
bbb
Staa wa Bongo Movie Iren Uwoya akiwa msibani.
uuuuuKulwa Kikumbi ‘Dude’ akiwa msibani Urambo pamoja na waombolezaji wengine.
bbvvv…Waombolezaji wakiendelea na ibada wakati
duuuuuuuuuuuuuuuu
  … Kikundi cha wasanii kikiongozwa na Dude kikitumbuiza msibani.

pichaaaaaWenyeji wa Urambo wakiwa msibani, wanasikiliza nasaha mbalimbali za viongozi.


wakuuSpika wa Bunge, Job Ndugai (kwenye nembo) akiwaongoza wabunge msibani.sitta-13
Jeneza lenye mwili wa marehemu Sitta likishushwa kwenye gari ili kupelekwa eneo la makaburi kwa ajili ya mazishi.
sitta-11
Jesneza likishushwa baada ya kufikishwa makaburini.
sitta-15sitta-12
sitta-8
Jeneza lenye likiandaliwa kushushwa kaburini kwa mashine maalum.
sitta-10
Askofu mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), Dk Alex Malasusa (mwenye kofia kushoto) akiwaongoza maaskofu, wachungaji, waumini na waombolezaji wakati wa ibada ya mazishi.sitta-14
Viongozi wa serikali na vyama vya siasa, watoto wa marehemu, ndugu na marafiki wa marehemu wakiweka udongo kaburini.
sitta-5sitta-3
Mjane wa Marehemu Sitta, Bi. Magreth Sitta akiweka shada kwenye kaburi la mumewe.
sitta-1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe, Mohammed Aboud Mohmamed akiweka shada kwenye kaburi la marehemu Sitta.
sitta-2 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakiweka shada kwenye kaburi la marehemu Sitta.
sitta-4 
sitta-6
Spika wa Bunge Mstaafu, Mama Anne Makinda akiweka shada kwenye kaburi la marehemu Sitta.
sitta-7 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), freeman Mbowe akiweka shada kwenye kaburi la marehemu Sitta.
sitta-9     
Spika wa Bunge, Tulia Ackson akiweka shada kwenye kaburi la marehemu Sitta.
URAMBO, TABORA: Aliyekuwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta leo amezikwa mjini Urambo. Mazishi hayo yaliongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye alitoa neno la faraja kwa wafiwa, marafiki na viongozi wa serikali. Mazishi hayo yalihudhuriwa na mawaziri, wabunge na wananchi mbalimbali wakiwemo wasanii wa filamu na muziki.
Aidha, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Elikael Mbowe naye alihudhuria na alikuwa mmoja wa viongozi waliotoa hotuba katika msiba huo.
Mara baada ya mwili wa marehemu kushushwa kaburini, viongozi mbalimbali wakiongozwa na waziri mkuu pamoja na wana familia waliweka mashada ya maua kwenye kaburi hilo kisha kikosi cha jeshi la polisi kilipiga risasi hewani kama heshima kwa kiongozi huyo aliyeaga dunia Novemba saba mwaka huu nchini Ujerumani.
SOURCE:GPL

Comments

Popular posts from this blog