Kizza Besigye Azuiwa Kutoka Nje Ya Nyumba Yake

kizaKizza Besigye akizungumza na ofisa wa polisi.
KAMPALA: Mwanasiasa wa siku nyingi nchini Uganda, Kizza Besigye leo amezuiliwa na polisi wa Kayihura kutoka nje ya nyumba yake.kizza-1  …Baada ya kushuka garini.
Polisi hao wamemweleza mwanasiasa huyo kwamba wamepewa amri kutoka juu kwamba haruhusiwi kutoka nje ya nyumba yake.
kizza-2…Polisi wakiwa wameweka kizuizi.
Kupitia akaunti yake kwenye mtandao wa Twitter mwanasiasa huyo ameandika:
“ Happening just now, Kayihura Police officers say their orders are not to allow me out of my home at all- period! Impunity at its highest.”
Na Leonard Msigwa/MTANDAO.

Comments

Popular posts from this blog