Mwanzilishi wa Facebook Alivyokutana na Akina Yemi Alade Nigeria
Lagos, Nigeria
MWANZILISHI
na mmiliki wa mtandao maarufu duniani wa Facebook, Mark Zuckerberg juzi
Jumanne alianza ziara yake ya siku mbili nchini Nigeria, ikiwa ni ziara
yake ya kwanza kwa nchi za Afrika, na kukutana watu mbalimbali wakiwemo
wasanii maarufu wa uigizaji filamu na muziki nchini humo.
Comments
Post a Comment