DIAMOND PLATINUMS NA ZARI THE BOSS LADY WATIKISA VISIWANI ZANZIBAR



Leo septemba 23 ni siku ambayo Zarithebosslady anasherehekea siku yake ya kuzaliwakatika kusherehekea siku hii muhimu mpenzi wake Diamond Platnumz, pamoja na mtoto wao Princess Tiffah wameambatana na baadhi ya watu wao wa karibu na kwenda mapumzikoni visiwani Zanzibar.
Angalia Picha Jinsi Walivyowasili Visiwani Humo.Diamon Platnumz, Zari, Princess Tiffah na Mwarabau Fighter (Baunsa Wa Mondi)Diamond Platnumz na Mwanae Princess Tiffah.

Comments

Popular posts from this blog