REAL MADRID NA SEVILLA WALIVYOTOANA JASHO KWENYE MCHEZO WA UEFA SUPER CUP USIKU WA KUAMKIA LEO

Nahodha wa Real Madrid Sergio Ramos akishangilia huku akinyanyua kombe na wenzake baada ya kutwaa ubingwa wa Uefa Super Cup baada ya kushinda 3-2 dhidi ya Sevilla huko Norway 
Beki wa Real Madrid Dani Carvajal akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu na ushindi dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa Uefa Super Cup.
Sergio Ramos akiifungia Real Madrid goli la kusawazisha kwa kichwa na kufanya matokeo kuwa 2-2 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa Uefa Super Cup, kabla ya kuibuka na ushindi ndani ya dakika 120. 


Konoplyanka, ambaye hakuwa kwenye kiwango bora kwenye Michuano ya Euro 2016 na Ukraine, akifunga mkwaju wa penati na kuipa Sevila uongozi wa mabao 2-1.

Comments

Popular posts from this blog