EXCLUSIVE…MWANA DADA WA CHADEMA JOYCE KIRIA AMKATAZA MUMEWE KUSHIRIKI KAMPENI YA UKUTA.
HIVI NDIYO ALIVYO ANDIKA KUPITIA MTANDAO WAKE WA FACEBOOK
Nimeshamuomba sana shemeji yenu asome alama za nyakati jamani..Mkuu wa Kaya wa sasa kwa kweli hapanaaaaa wasimshike sharubu pls…. Hii UKUTA uuuuuwiiii




nimemwomba jamani waipige chini watafute njia nyingine ya kumaliza migogoro ya kisiasa 



.
.
Kinamama wenzangu Hasa WAKE wa hawa wanaUKUTA pls tuwashauri waume zetu jamani

tusisubiri mambo yaharibike kisha ndo tuanze kulia wakati tunaweza
kuwazuia wasifanye jazba jamaniii… Hats kwenye nyumba hamuwezi wote kuwa
wababe jamani
lazima mmoja awe chini jamaniii


….
.
Kiukweli wamefanya kazi kubwa nzuri katika Taifa hili na mbinu zao zilifanikiwa sana kwa serikali iliyopita kwa sababu Dady alikuwa hana neno mkwere wa watu, anawachekea na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza na juice wanapewa, lakini sasaivi uuuuuuwiiiii wapunguze spidi na wasome sana mchezo, HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA huyu BABA hacheki jamaniiiii





.. Wasimjaribu jamaniiiii




.
.
Yaani kiukweli nampenda sana Kilewo wangu, nimemwambia UJANE wa kulazimishana siutaki kabisa jamani




eti uniachie hawa kina Lincon na Linston peke yangu mapema yote hii, Lisa UKUTA jamani

???
Tuwaombee sana sana, yaani Mungu aingilie kati yamani, na tusiache
kabisa kuwashauri waachane na UKUTA watatue haya mambo mezani bila
kutumia nguvu kubwa …. Nafasi bado IPO naamini…..
.
Mambo yakiharibika jamani Wanawake na Watoto itakula kwetu zaidi











Comments
Post a Comment