PICHA 5: Muonekano wa helicopter inayotengenezwa Arusha

Mtanzania Injinia Abdi Mjema ndiye anayeitengeneza helicopter hiyo katika chuo cha  ufundi Arusha na hadi kufikia mwezi wa saba mwanzoni itaanza majaribio ya awali, helicopter itakuwa na uwezo wa kuchukua abiria wawili na mpaka sasa shilingi million  3 zimeshatumika.
20160622_142153 20160622_142318 20160622_142336 20160622_142402 20160622_142410

Comments

Popular posts from this blog