Shilole, Vanessa Wamaliza Bifu Lao
WAREMBO wanaofanya vyema kwenye tasnia
ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Vanessa Mdee, usiku
wa kuamkia leo wameweza kuvunja bifu lao ambalo limekuwa likivuma kwenye
mitandao ya kijamii baada ya kukamua kwenye steji moja ndani ya ukumbi
wa Bilicanas.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL
Comments
Post a Comment