ZIFAHAMU FAIDA KUMI ZA MMEA WA ALOE VERA KWA BINADAMU...

                                                                 
mmea wa aloe vera ni mmoja ya mimea ambayo imejizoelea umaarufu miaka hii ya karibuni  baada ya kuonyesha kutibu na kuzuia aina mbalimbali za magonjwa, lakini pia kurefusha maisha na kupunguza makali ya magonjwa yasiyopona kama kisukari, presha, magonjwa ya moyo, pumu, kifafa, ukimwi na mengine mengi, lakini mmea huu ulikua ukitumika tangu miaka ya zamani sana na watu waliishi miaka mingi wakiwa na nguvu na akili kupitia mmea huu.

kwa faida za mmea huu ni bora kumiliki hata bidhaa moja tu ambayo utakua unaitumia siku zote za maisha yako ili kupunguza uwezekano wa kupatwa na magonjwa hatarishi..kwa sasa kampuni ya forever living product ndio inaongoza kwa mauzo hayo duniani, ikiwa imetapakaa zaidi ya nchi 150.hapa tanzania ikiwa  imeuaza zaidi ya bilioni ishirini kwa mwaka jana tu  na kulipa kodi serikali zaidi ya bilioni tano za kitanzania, hii inaonyesha watanzania wameamka na wanatumia sana bidhaa hizi. lakini pia ni bidhaa ambazo kama daktari naweza kuzitetea kwani wagonjwa wangu wengi wamefaidika kwa matumizi yake. zifuatazo ni sababu 10 kwanini utumie bidhaa zitokazo na mmea huu..

umekubalika na wanasayansi  duniani: zaidi ya tafiti mia moja za kitaalamu zilizofanyika zimegundua kwamba mmea huu wa aloe vera ni moja chakula bora vya asili kwa mwili wa binadamu na hufanya mtu kuishi kwa afya tele akitumia kama moja ya vyakula vyake.kumbuka hizi sio dawa kama watu wanavyofikiri kwani hazina sumu na hata ukinywa zaidi hudhuriki na ni vema kutumia kama sehemu ya chakula cha maisha yako kwa matokeo mazuri na sio kama vidonge vya malaria.

ni kinga ya mwili: bidhaa za mmea huu hutoa kinga asilia kwa mwili wa binadamu, tafiti zinaonyesha kwamba wagonjwa wengi waathirika wa virusi vya ukimwi walifaidika sana baada ya kutumia bidhaa hizi na kuongeza kiasi cha CD4 count,  kwa wale ambao walikua na hali mbaya sana na kuwafanya waendelee kuishi maisha kama kawaida.

hupambana na dalili za uzee; muanzilishi wa moja ya kampuni zinazofanya  kazi ya kuuza bidhaa hizi kwa kiasi kukubwa ulimwenguni ana umri wa miaka 80. binafsi nilipomuona nilifikiri labda ana miaka 50 au 60. amekua akitumia bidhaa hizi maisha yake yote nadhani yeye tu ni moja ya ushahidi kwamba bidhaa za aloe vera zinafanya uwe kijana kwa muda mrefu.

ni kinga na tiba kwa magonjwa ya meno;magonjwa ya kuoza na meno kutoka ni moja ya magonjwa yanayosumbua watu wengi duniani, lakini dawa za meno za mmea huu zimethibitisha kupambana na tatizo hili kwa asilimia kubwa sana.mdogo wangu anayenifuata alianza kutumia dawa za meno za kampuni hii baada ya kuhangaika sana kwa madaktari wa meno na ndio ilikua mwisho wa yeye kung'oa meno mpaka leo.

zinasaidia sana kupunguza uzito; virutubisho vingi vya aloe vera husaidia kuondoa sumu nyingi mwilini na  kuongeza kasi ya mwili kuchoma mafuta. hii humfanya mtumiaji ambaye anataka kupungua uzito kupungua kirahisi sana huku akifanya mazoezi rahisi kama ya kutembea tu.

hupa mwili nguvu, madini na vitamini; bidhaa za mmea huu zina madini na vitamini karibia zote muhimu kwa mwili wa binadamu, ambazo mtu akizikosa huweza kuugua magonjwa ya aina mbalimbali.mfano calcium, magnesium, sodium, iron, pottasium, chromium, magnesium, manganese, copper, zinc and vitamins A,B1,B2,B12,C,E folic acid na niacin.

husaidia mifumo yote ya mwili; mmea huu wa aloe vera husaidia mfumo wa damu, mfumo wa upumuaji, mfumo wa chakula, mfumo wa mkojo na kadhalika na kwa namna hii huufanya mwili kufanya kazi muda mrefu bila kuchoka lakini pia virutubisho vya kuongeza nguvu za kiume na kutibu tatizo la ugumba vya kampuni hii vimeleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya afya.

husaidia uponyaji; vitamin c nyingi iliyopo kwenye mmea huu husaidia kupona kwa vidonda, kuungua, michubuko, allergy na hali zingine nyingin ambazo hupata mwili wa binadamu.lakini pia matibabu ya shida za ngozi kama chunusi, harara, upele na kadhalika..

ubora wa hali ya juu; watengenezaji wa bidhaa hizi kupitia kampunia ya forever living wametengeneza bidhaa za mmea huu  kwa ubora wa hali ya juu na kufanya uaminike dunia nzima na nchi zote.

fursa za kibiashara; kampuni hii inayoongoza kwa mauzo, inatumia mfumo wa mtandao ambapo watumiaji huweza kuanza kuwauzia watumiaji wengine na kupata faida kuu mbili yaani faida ya kuuza virutubisho hivyo na faida ya kuingiza watu wapya kwenye biashara.. ambapo, walioingizwa kwenye biashara humfaidisha kwa asilimia kadhaa mtu aliyewaingiza na kwa maana hiyo miaka yote yule mtu wa juu atapata faida, hivyo watu wengi zaidi chini yako uliowaingiza ni faida zaidi kwako. hapa tanzania kuna watu ni matajiri sana na hawahitaji kufanya kazi tena sababu ya biashara hii.hii ni moja ya biashara za kisasa sana ambazo matajiri wakubwa sana duniani kama bill gait, wanashauri watu wazifanye kwani ni chanzo cha uhuru wa kifedha yaani ni biashara pekee ambayo ipo siku utaacha kufanya lakini unapata fedha na imewafaidisha watu wengi sana duniani ambao walikua masikini sana.
angalizo:
kama umeamua kutumia bidhaa hizi kama mteja ni tumia bila wasiwasi wowote ila kama umeamua kuzitumiana  kama mtumiaji na  mjasiriamali, usisikilize watu walioshindwa  watakukatisha tamaa kabisa, ongea na waliofanikiwa. ni moja ya biashara rahisi na huanzwa na mtaji mdogo...zaidi ntakuashauri usome kitabu cha BUSINESS OF 21st CENTURY kilichoa ndikwa na tajiri wa kimarekani kwa jina la robert kiyosaki.
                                                                       
                                                     STAY ALIVE

                 DR. KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635\0769846183

Comments

Popular posts from this blog