Mastaa Wajitokeza Kumuenzi Steven Kanumba


kanumba (3)
Mama mzazi wa aliyekuwa Staa wa Bongo Movie, Marehemu Steven Charles Kanumba, Flora Mtegoa akiwa ameshika shada wakati wa ibada fupi ya kumuombea mwanaye.kanumba (4)…Akiweka shada kwenye kaburi la mwanaye,Marehemu Steven Kanumba. kanumba (5)Mama wa Staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael, Lucresia Karugila akiweka shada kaburini. kanumba (6)Ndugu, jamaa na marafiki wakishiriki kuwasha mishumaa kaburini hapo.
kanumba (7)
Zoezi likiendelea la kuwasha mishumaa kaburini hapo.kanumba (8)
Taswira ya kaburi lenyewe.kanumba
Ndugu, jamaa na marafiki wakishiriki ibada fupi ya kumuombea Marehemu, Kanumba kama kumbukumbu ya kutimiza miaka minne toka kifo chake
kanumbass
Staa waBongo muvies hapa nchini, Anty Ezekiel akifanya mahojiano na baadhi ya wanahabari makaburini hapo.
kanumba (2)
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba akizungumzia namna Marehemu Steven Kanumba atakavyoendelea kuenziwa tarehe kama ya leo na mwezi, tangu kifo chake.
NA DENIS MTIMA/GPL

Comments

Popular posts from this blog