Kigwangalla atembelea hospitali ya Haydom Mbulu-Manyara

DSC_0073
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Khamisi Andrea Kigwangalla akielezea machache juu ya ujio wake katika hospitali hiyo.
DSC_0101
 Kigwangalla akipata maelezo kutoka kwa mtaalam wa Kitengo cha Macho katika Hospitali hiyo ya Hydom.
DSC_0197
…Akipata maelezo juu ya kitengo maalum cha ufundi wa vifaa tiba.
DSC_0210
…Akipata picha ya pamoja na mtaalam wa masuala ya ufundi wa vifaa tiba vya kitaalam.
DSC_0195
DSC_0132
…Akiangalia chumba cha CT-SCAN.
DSC_0135
Mashine ya kisasa ya CT-SCAN iliyopo katika hospitali hiyo ya Hydom. DSC_0233
 …Akitembezwa katika moja ya wodi za hospitali hiyo.
DSC_0251
…Akiwasili katika Chuo cha Uuguzi cha Hydom kinachomilikiwa na Hospitali hiyo ya ya Hydom.
DSC_0255
…Akiwa katika Chuo cha Uuguzi.
DSC_0256DSC_0259DSC_0260
…Akisikiliza kwa risala fupi kutoka kwa msimamizi wa chuo hicho.
DSC_0272DSC_0284
DSC_0312
…Akitoa maelezo kadhaa kwa uongozi wa Hospitaali hiyo baada ya kumaliza kuitembelea.
DSC_0290
Wanafunzi  wakifuatilia mkutano huo.
DSC_0304DSC_0313DSC_0325
Mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo akiuliza swali.
DSC_0316
Kigwangalla akijibu baadhi ya maswali wakati wa mkutano huo.DSC_0350
Moja ya muonekano wa jengo la hospitali hiyo.
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Khamisi Andrea Kigwangalla, ametembelea Hospitali ya Kilutheri ya Hydom iliyopo Wilayani Mbulu Mkoani, Manyara na kushuhudia namna ya utendaji kazi unaofanywa hospitalini hapo.
Kigwangalla alijionea  shughuli zinazofanywa katika sekta ya afya na wadau mbalimbali ikiwemo hospitali hiyo  ambayo inahudumia eneo kubwa la ukanda huo ikiwemo mikoa ya Singida, Tabora, Manyara yenyewe na maeneo mengine ya karibu.
(Picha zote na Andrew Chale,Modewjibl)

Comments

Popular posts from this blog