RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMLAKI RAIS WA VIETNAM MHE. TRUONG TANG SANG IKULU
Rais
wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang akimshukuru Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya
kuzungumza na wanahabari hawapo pichani Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimsindikiza mgeni wake Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang Ikulu
jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
Comments
Post a Comment