MANGE KIMAMBI AWALIPUA WAUZA UNGA ... AWATAJA KWA MAJINA LAIVU BILA YA WOGA .


Kutokana na sakata la mwanahiphop Chidi Benz, Mwanadada Mange kawachana live wauza unga huku akiwataja majina baadhi ya makada maarufu wa CCM Kinje Ngombare na Iddy Azan kama wahusika wa hii game.

Note: Magu anza na hawa waliotajwa maana kama Iddy Azan hii ni mara nyingine anatajwa...

Ameandika hivi Kwenye ukurasa wake wa Instagram:
From @mangekimambi_ - "Chi chi chi chi Chidi Benz... I respect huyu msanii sana. Ni Mtu wa kujitolea, about 4 years ago nilikuwa na event ya Watoto yatima pale Kurasini nikamuomba aje kuwafanyia show watoto, akaja kwa cost zake Na akafanya show bureeeeeeeeeeee. Sio wasanii wengi wanaokubali kufanya Hivi. So Leo nikimuona ana hali hii inanisikitisha mnoooo...

Kweli binadamu tumeumbwa tofauti Jaman. I love money mpaka huwa naziota ndotoni Ila siwezi kufanya biashara ya unga au siwezi kuwa na mume muuza unga, yes ukiwa na mume muuza unga na wewe huna tofauti na mumeo Maana unakula hiyo pesa......... As much as I love money siwezi Taka pesa ambayo inatokana na binadamu Mwenzangu kuwa Hivi. Raha yake ni nini??? Yani niendeshe gari zuri, au nivae designer stuff au nijenge mansion Kwa pesa inayotokana Na binadamu Mwenzangu kuwa Hivi jamani au mwishowe afe kabisa??? .

Anyways, biashara ya madawa ya kulevya haiwezi kufa kabisa no matter what because of the huge profits but what we can do is tunaweza kuipunguza mnooooooooooooooooooo. .

Kwako Mr. Sembe @nsembo2014 kwako Mrs. Sembe @8020fashions kwako @KinjeNgombaleMwiru kwako @IddiAzzan2015 kwako @Rummy_26square kwako @DaudiKanyau na wengineo wengi Hivi mna roho za vipi nyie watu? 40 zenu zitafika tu.....

Alafu hawa wauza unga naowatajaga eti wanazanigi nawaonea wivu. Niache kuwaonea wivu kina Klyn Mengi wanaokula bata la pesa halali niwaonee wivu nyie criminals??? Mnamaliza vijana wa kitanzania then mnataka kujifanya watu wa maana kwenye jamii.

Alafu I have a question hivi kwanini wauza unga wengi wa Bongo wanahamia South Africa? Kwani South Africa kuna laws za kuwalinda ama? Maana sijaelewa. So many of Tanzania's drug dealers wanahamiama huko wanakuwa wanaenda bongo kuchungulia. Mnaojua embu tuelewesheni" Mangeiop[]\

source:rahatupu

Comments

Popular posts from this blog