Lulu, Richie washinda Tuzo ya MVCA

Please join me to Salute another Tanzanian hero hapa Lagos Super Star Lulu Michael   kwa kushinda  tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki (Best Movie – East Africa) kupitia Mapenzi. Muigizaji huyo alijikuta akilia kwa furaha wakati akishukuru kushinda tuzo hiyo.at
"2016 AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS"  ....SALUTE SISTER and BRO. RICHIE NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

 

12383442_1039292052794047_1291827190_n
Staa wa Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiongea jambo baada ya kushinda Tuzo ya Africa Magic Viewers Choice (MVCA) zilizofanyika Lagos, Nigeria.
12748312_1230116337018317_815118856_n
Akiwa na tuzo yake.
12751167_101558073573241_480766938_n
Akifanya mahojiano.12797949_1676525092616635_194624799_nMuonekano wa ndani ya ukumbi.  12826110_1238549346174207_1346982052_n
Wasanii wa uigizaji Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (kulia), Single Mtambalike ‘Rich Richie’ (kushoto) wakiwa Muongozaji filamu anayechipukia kwa kasi, Honeymoon Mohammed (katikati).

Comments

Popular posts from this blog