BREAKING NEWZ:Shein atangazwa mshindi wa urais Zanzibar

1
Rais wa Zanzibar, Dkt Ali Mohammed Shein.
160321093836_zanzibar_results_624x832_bbc
Matokeo kamili kama yalivyotangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), yanaonesha licha ya Chama cha Wananchi (CUF) kususia, mgombea wake Maalim Seif Sharif Hamad alipata kura 6,076 kwenye uchaguzi wa marudio uliofanyika Jumapili.Dkt Ali Mohammed Shein atangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Zanzibar akiwa na kura 299,982.
160321092227_zanzibar_ali_shein_gets_certificate_640x360_bbc
Mgombea wa CCM, Dkt Ali Mohammed Shein akikabidhiwa cheti cha ushindi wa urais.
160321085545_zanzibar_salim_jecha_640x360_bbc
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Salim Jecha akiongea jambo wakati akitangaza matokeo.
Kulikuwa na wagombea 14 kwenye karatasi za kura za kumchagua rais. Majina yao ndiyo haya:
1 Khamis Iddi Lila ACT-W
2 Juma Ali Khatib ADA-TADEA
3 Hamad Rashid Mohamed ADC
4 Said Soud Said AFP
5 Ali Khatib Ali CCK
6 Ali Mohamed Shein CCM
7 Mohammed Massoud Rashid CHAUMMA
8 Seif Sharif Hamad CUF
9 Taibu Mussa Juma DM
10 Abdalla Kombo Khamis DP
11 Kassim Bakar Aly JAHAZI
12 Seif Ali Iddi NRA
13 Issa Mohammed Zonga SAU
14 Hafidh Hassan Suleiman TLP

Comments

Popular posts from this blog