Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba watu kadhaa wamepoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea baada ya basi la abiria la Takbir lenye namba za usajili T 230 BRJ lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na lori eneo la Shelui mkoani Singida usiku huu.
Comments
Post a Comment