MAMA SAMIA AWAHUTUBIA WANANCHI WA TEMEKE

Mgomea Mwenza wa Uraus kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika Kata ya Buza, jimbo la jijini Dar es Salaam.
(Picha na Bashir Nkoromo)

Wananchi wakimshangilia Mama samia kwenye mkutano huo.

Comments

Popular posts from this blog