MWENYEKITI WA CHADEMA AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI KUELEZEA AFYA YAKE

 

Mbowe akiongea na Waandishi wa habari leo
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Freeman Mbowe, ameongea na vyombo vya habari na Kuelezea maendeleo yake kiafya baada ya jana kuugua gafla na kukimbizwa Hospitali. 



Comments

Popular posts from this blog