LOWASSA AANDIKA UJUMBE MZITO USIKU WA KUAMKIA LEO BAADA YA PROF. LIPUMBA KUJIUZULU!

mabadiliko
makubwa pamoja na Mwenyekiti wetu, Freeman Mbowe kwa kusimama imara
katika kipindi hiki kigumu. Nimewaambia wajumbe wa mkutano mkuu kuwa
natambua kazi wanayofanya ni kubwa na wanajitolea, na kwa umoja wetu,
tutafika kila jimbo na kufanya kampeni za kisayansi bila matusi na
tutapata Ushindi wa Asubuhi Mapema. Asanteni sana kwa imani yenu kwangu.
Comments
Post a Comment