KAMATI KUU YA CCM LEO MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo Agosti, 11, 2015 katika ukumbi wa Jengo la White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. 
 Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo Agosti, 11, 2015 katika ukumbi wa Jengo la White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. 
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Steven Wasira na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Adam Kimbisa wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma.
 Wajumbe wa Kamati Kuu, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Adam Kimbisa na Dk. Emmanuel Nchimbi, wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma.
 Wajumbe wa Kamati Kuu, Dk. Maua Daftari na Samia Suluhu Hassan, wakibadilishana mawazo ukumbini, kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati Kuu, Adam Kimbisa akiwasalimia wajumbe wenzake ukumbini kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Shamsi Vuai Nahodha, Zakia Meghji na Dk. Salim Ahmed Salim.
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Zakiah Meghji na Dk. Asha-Rose Migiro wakibadilishana mawazo ukumbini kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCm leo mjini Dodoma.
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Spika wa Baraza la Wawakilishi, Ameir Pandu Kificho akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake, Khadija Adood, kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM kuanza leo mjini Dodoma.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akibadilishana mawazo na Mjumbe mwenzake wa Kamati Kuu, Zakiah Meghji kabla ya kikao cha Kamati Kuu kuanza leo mjini Dodoma. (Picha na Bashir Nkoromo)

Comments

Popular posts from this blog