KUTOKA BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 18, 20154, Victor Mwambalaswa wa Lupa, Sylvester Mabumba wa Dole na Dkt. Hamisi Kigwangalla wa Nzega.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mbunge wa Viti Maalum, Riziki Lulida kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 18, 2015.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge Mhe.Jenista Mhagama akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Simanjiro Mhe.Christopher Ole-Sendeka nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kupitishwa kwa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Mei, 16 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

Popular posts from this blog