RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Ndugu
Sixtus Mapunda pamoja na wananchi kutoka maeneo mbali mbali ya Tanzania
kwenda kumzika marehemu Kapteni John Komba kijijini kwake Lituhi.
Mke wa Marehemu Kapteni John Komba ,Salome (kushoto) akiweka shada la maua juu ya kaburi la marehemu.
Watoto wa marehemu Kapteni John Komba wakiweka shada la maua juu ya kaburi la Baba yao.
Watoto wa marehemu wakilia kwa uchungu wakati wa kuweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yao .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete
akiweka shada la maua pamoja na mkewe Mama Salma Kikwete juu ya kaburi
la Kapteni John Komba aliyezikwa kwenye makaburi ya kijiji cha Lituhi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete
pamoja na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima mara baada ya kuweka
shada la maua kwenye kaburi la Kapteni John Komba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua
kwenye kaburi la Kapteni John Damian Komba aliyezikwa kijijini kwake
Lituhi.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Lameck Mchemba pamoja na Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye wakiweka shada la maua
juu ya kaburi la Kapteni John Komba aliyefariki jijini Dar es Salaam
tarehe 28 februari na kuzikwa kijijini kwake Lituhi tarehe 3 Machi 2015.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Ndugu Said Mwambungu (kulia) akiweka shada la maua pamoja na mkewe kwenye kaburi la Kapteni John Komba.
Khadija
Kopa akiwa katika huzuni kubwa mara baada ya kuweka shada la maua kwenye
kaburi la Kapteni John Komba kijijini kwake Lituhi.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment