NINI MAONI YAKO KUHUSU KAULI YA SINTAH JUU YA SHILOLE NA MZIWANDA?

Una nini cha kusema kuhusu kauli hii ya Sintah juu ya Shilole na Nuh Mziwanda?



 “Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘so calle’ Nuh or ‘whatever’ his name is kalazimishwa?? unajua siku hizi mapenzi yamemekuwa ‘free’ sana yaani ukiona mtu anakupa vitasa mara humuelewi yanini kun'ga'gania ‘as if’ umezaliwa naye, mtu uliyemjua ukubwani nae akupe shida ‘BIG NO i would rather stay single for the rest of my life’, kwanza sio adhabu kuwa ‘single’ kuliko kuwa katika ‘unhealthy relationship’ ...
 Mnaomuonea huruma huyo ‘so called’ Mziwanda ni wanafiki mapenzi ya mtu mbili kama anapigwa vitasa na anatulia anajua mwenyewe alichokifanya na atulie, kuliko kusema ni umasikini kwani yeye ni kiwete? ina maana hawezi kutafuta kazi akapata mpaka awe msingi kiuno? ‘hell no’ muacheni apokee makonde, vitasa, nk,  vijana kama yeye wapo wengi tuu kazi ‘kujisexisha’ na kuwa msingi kiuno mjini ndio wanafanya taifa linadidimia kwa umasikini, vijana wenye nguvu wanatakiwa wafanye kazi matokeo yake wanajipamba tu , halafu mnalalmika ooh wazee hawatuachii nafasi maofisini watawachiaje na nyie siku hizi mnapenda ‘slope full’ kutelezaa…”Mwisho wa kunukuu
Jamani, haya si maneno yetu ni maneno ya mwanadada Sintah tuliyoyanukuu kama yalivyo toka kwenye blog yake. Sana sana ‘tume-edit’ tu kuweka Kiswahili fasaha ili baraza la Kiswahili lisije sema tunachangia watoto kupata ‘FAIL’.

Comments

Popular posts from this blog