SHILOLE AOGESHWA KAMA MTOTO MDOGO VILE KWENYE PARTY YAKE





Shilole akijiandaa kukata keki pembeni ni Steve Nyerere.




Said Fella na Faraji wakimmwagia Shilole maji na bia.

Shilole akipiga kelele baada ya kumwagiwa maji na bia.
….akiogelea.

Sehemu ilipofanyikia sherehe hiyo.
Msanii Mziwanda ambaye ni mpenzi wa Shilole akiwa na Steve Nyerere.




Shilole akiwa na wadau.












Wadau mbalimbali wakiwa kwenye sherehe hiyo.MWANADADA Zuwena Mohamed ‘Shilole’ jana alidondosha bonge la pati alipokuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika moja ya apatiment iliyopo nyuma ya Baraka Plaza Mikocheni, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii kama Ditto, Linah, Chegge, Mhe. Temba, Shetta, Mziwanda pamoja na wadau wengine.

Comments

Popular posts from this blog