| Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili
kushoto), akionyesha CD ya filamu mpya iitwayo ‘I Love Mwanza’,
iliyoandaliwa na Lake Zone Youth Empowerment Foundation kwa kushirikiana
na Tropical Media Tanzania Ltd, baada ya kuizindua katika hafla
iliyofanyika jijini Mwanza Jumamosi usiku. Wanaoshuhudia ni Waziri wa
Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wa watatu kushoto), Rais wa
Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba (kushoto), na
Mwenyekiti wa Chama cha Sanaa za Maonyesho na Waigizaji Tanzania
(TDFAA), Mkoani Mwanza, Anitha Kagemulo. |
Comments
Post a Comment