KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUKUTWA AKITAKA KUMLAWITI KIJANA MDOGO ENEO LA RADIO ARUSHA

Kijana mmoja muda huu ambaye jina lake halijafahamika Mara moja amekutwa Bila aibu Akimlawiti mtoto wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro.
 Tukio zaidi tazama hapa chini 
Amani Athumani aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita
Huyu ndiye dogo ambaye amelawitiwa ana umri wa Miaka 12.

 Amani Athumani akiwa Chini ya ulinzi baada ya kukamatwa akiwa anamlawiti kijana wa Miaka 12

 Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyebaka
 Wananchi wenye Hasira kali wakiwa  wanataka kuanza kumtandika kijana huyo...


Mpaka sasa kijana huyo yupo eneo alililo kamatwa Njiro karibu na PPF. 


Picha na Arusha yetu Blog

Comments

Popular posts from this blog