AVEVA NDIYE RAIS MPYA SIMBA SC...ASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Amin Bakhresa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba SC.
Evance
Aveva akishukuru baada ya kutangazwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba
na kuchukua mikoba ya Ismail Aden Rage, aliyemaliza muda wake wa miaka
minne.Rais
mpya wa Simba, Aveva akipongeza Bakhresa kwa kazi nzuri ya kusimamia
shughuli nzima ya uchaguzi, ambao ulifanyika pasipo bugudha yoyote ile
katika Bwalo la Polisi Oysterbay jana
MIKAKATI
IMEANZA! Rais mpya wa Simba Aveva (mwenye suti, kushoto), akisalimiana
na Katibu Mkuu wa klabu hiyo Ezekiel Kamwaga huku Makamu Katibu Mkuu
Phillip Stanley (mwenye shati jekundu) akiwasikiliza mipango yao.
Rais Aveva, akifurahia jambo na Makamu Mwenyekiti uongozi uliomaliza
muda wake, Joseph Itang'are 'Mzee Kines' baada ya shughuli nzima ya
uchaguzi kumalizika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi Oysterbay.
Picha za msichana zavuja mtandaoni kisa ni tabia yake ya kubadilisha wamaume kama nguo, ndipo jamaa akaamua kumpiga picha na kuzitupia katika mtandao KAMA UTAPENDA HIZI PICHA BONYEZA HAPA ILA NI WATU WAZIMA TU 18 + BOFYA HAPA PICHA 1 BOFYA HAPA PICHA 2 BOFYA HAPA PICHA 3 BOFYA HAPA PICHA 4
Picha chafu za msanii nyota wa bongo movie Edward Tem “Nick” zimevuja zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake. Ikumbukwe kwamba wiki kdhaa za nyuma jamaa huyo aliwahi kufumaniwa gesti na msanii mchanga wa kike ambaye ni mke wa mtu na sakata hilo liliishia kituo cha Polisi baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Comments
Post a Comment