ANGALIA PICHA ZA AJALI MBAYA ZILIZOTOKEA ASUBUHI YA LEO
Toyota Coaster T 916 BQE ikiwa imetumbukia mtaroni maeneo ya Sinza Mapambano.
Ajalli
mbaya zimetokea asubuhi hii maeneo ya Sinza Mapambano na baada ya gari
kubwa (coaster) kuigonga gar ndogo (teksi) na kuingia mtaoni. Hakukuwa
na watu walioumia vibaya.
Ajali nyingine imetokea katika Barabara ya Mandela ambapo coaster moja imeacha njia na kutumbukia mtaroni. Hakukuwa na abiria zaidi ya dereva peke yake ambaye hakuumia sana.
Ajali nyingine imetokea katika Barabara ya Mandela ambapo coaster moja imeacha njia na kutumbukia mtaroni. Hakukuwa na abiria zaidi ya dereva peke yake ambaye hakuumia sana.
STORI NA PICHA: NYEMO CHILONGANI NA ANDREW CARLOS/GPL
Comments
Post a Comment