Yaliyojiri jana kwenye ufunguzi rasmi wa NYUMBANI LOUNGE.

JD1 JD2 JD3 JD4 JD5 JD6 JD7 JD8 JD9 JD10 JD11
Hii ilikuwa usiku wa jana tarehe 31.1.14 kwenye ufunguzi rasmi wa awamu ya 3 wa NYUMBANI LOUNGE, watu walikuwa ni wengi na kila mmoja alifurahia show ya Mwanadada Jide na Machozi Band wakati ikitumbuiza huku ikiwa na waimbaji wapya wa kike kama mnavyowaona kwenye picha za juu waliovalia nguo za Kijani, Blue na Njano.
Picha kwa niaba ya http://baabkubwamagazine.com/

Comments

Popular posts from this blog