MAKAMBA, WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI CCM


 Naibu Waziri wa Mawasiliano  Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa White House mjini Dodoma mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili CCM jana.
January Makamba akiondoka kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wassira akitoka nje ya ukumbi wa White House baada ya kumaliza mahojiano na Kamati Ndogo ya Maadili CCM mjini Dodoma jana.
Stephen Wassira akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi. Wassira aliwaeleza waandishi kuwa hakukuwa na tuhuma juu yake.
Wassira akifurahia jambo na Kada maarufu wa CCM, Adam Soud mara baada ya kumaliza mazungumzo na waandishi wa habari mjini Dodoma.
credit:GPL

Comments

Popular posts from this blog