MINNE WACHOMWA MOTO HADI KUFA..

Katika hali isiyo ya kawaida Majeshi ya ugaidi huko Nigeria yaliweza kuvamia kijiji na kusabisha mauaji makubwa, kati ya tukio ambalo linasikitisha ni pale ambapo walimkamata mama mmoja na kumbaka na kisha kumchoma moto yeye pamoja na mtoto wake mdogo mwenye umri wa miezi mi nne tu.

Comments

Popular posts from this blog