SHAA AKIRI KUTEMBEA NA MASTER JAY ... AANIKA SIRI ZAO NZITO NZITO


Akihojiwa katika kipindi cha ng'ari ng'ari, Shaa alisema," mimi sikuwa  sababu ya kuachana kwa wao wawili (master jay na mama watoto wake),kwani  ugomvi au kuachana kwa watu wawili huwa inahusu wao wenyewe wawili ila  sio mtu watatu, na kwakuwa mimi nilikuwa nimetoka kutendwa ilichukua  muda kidogo hadi kuja kuwa na mahusiano na Master Jay hata yeye pia  aliniambia alikuwa na maumivu yake ndio mana ilichukua muda hadi kuwa na  mahusiano. Hivyo kwanini niachie bahati yangu, Nampenda sana Master"
Mtangazaji: Huwa unapika ukiwa nyumbani, ili kumpagawisha mzee
Shaa: Nashukuru sana kwani Master anapenda sana kupika kwakweli   na mara nyingi huwa anapika yeye kuliko mimi, na Inshalah namshukuru  sana Mwenyezi Mungu

Comments

Popular posts from this blog