NJEMBA YAOMBA USHAURI KUHUSU MKEWE KUNG'ANG'ANIZA MAPENZI YA KINYUME NA MAUMBILE MAARUFU KAMA (MINI KABANG...)!


Habari yako Mnyetishaji.....
Please hide my name , mimi ni kijana wa kitanzania nina mke na mtoto mmoja kwa muda wa miaka miliwili sasa nimekuwa
nikisoma UK Deree yangu ya pili , kwa sasa nimemaliza nimerudi Tanzania , sasa cha ajabu ambacho sikielewi ni kuwa kila nikikutana na mke wangu anataka nimwingilie kinyume na maumbile..

yaani sometimes anaipeleka mwenyewe huko sehemu kwa siku kama mbili nimekuwa nafanya bila kujua imeingia huko...

sasa nimejua nimemkalisha kikao lakini haeleweki hajanipa jibu la maana paka sasa...

nahisi wakati mimi nipo uk kuna mtu alikuwa anamchezea sasa imekuwa hawezi sikia raha mpaka afanye hivyo ..

mimi ninajua madhara ya huo mchezo siwezi kabisa kufanya kwa mke wangu ...

swali linakuja hapa sasa nisipomfanyia ina maana ataendelea na hao jamaa zake wanao mfanyia ...sasa sijui nifanyaje ..

Comments

Popular posts from this blog