MAZIKO YA NELSON MANDELA KIJIJINI QUNU

 
Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini.
 
Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko.
 
Hapa ndipo Hayati Nelson Mandela atakapozikwa.
 
Oprah Winfrey naye ni miongoni mwa waombolezaji. Hapa akielekea eneo la makaburi.
 
Askofu Desmond Mpilo Tutu ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Mandela naye akielekea eneo la makaburi.
 
Jeneza baada ya kuwasili eneo la makaburi. Hapa likifunguliwa kutoka kwenye gari maalum.

Comments

Popular posts from this blog