INASIKITISHA SANA: KICHANGA CHAKUTWA KIMEKUFA IRINGA BAADA YA KUTUPWA NA MTU ASIYEJULIKANA







Na. LEWIS MBONDE BLOG,IRINGA

Tukio hili limetokea hapa mkoani Iringa asubuhi ya leo katika eneo la samora karibu na mashine ya kukamua mafuta ya alizeti kichanga kimekutwa kimekufa baada ya kutupwa.Shuhuda wa tukio hilo ni mwenye nyumba ambaye alikua anafanya usafi wa mazingira na kukuta kanga ikiwa imevilingisha huyo mtoto anae kadiliwa kua na miezi 8.Maiti hiyo ya kichanga ikaondoka na polisi.mpaka sasa muhusika hajapatikana.

Comments

Popular posts from this blog