HIVI NDIVYO VANESA MDEE ALIVYOFANYA MAAJABU HUKO NIGERIA KATIKA SHOW YA RHYTHM UNPLUGGED

jukwaa
Weekend iliyopita msanii wa Tanzania Vanessa Mdee a.k.a Vee Money alikuwa nchini Nigeria kwa ajili ya kuhudhuria na kutumbuiza katika show kubwa ya mara moja kwa mwaka, ambayo huwakutanisha wasanii wa A-list wa nchi hiyo katika jukwaa moja.Jukwaa la ‘Rhythm Unplugged’
Baada ya show hiyo Vanessa alipost picha Instagram akiwa na dancers wa Naija waliopanda naye jukwaani kumpa support na kuandika;
Vee Money naija
“These ladies gave me LIFE tonight S/O to Nigeria’s CLIMAX dancers! What a stage, what an audience, what a show, what a slayin!!!! THANKYOU JESUS!!!!”.
vk1

Victoria Kimani
Naye msanii wa Kenya mwenye makazi nchini Nigeria Victoria Kimani, kupitia Instagram aliandika kuwa kati ya vitu alivyovipenda kwenye tamasha hilo ni pamoja na show ya Vee Money ambaye ameiwakilisha vizuri Afrika Mashariki.
Naija-1
“My Favorite Part of the Show from Top Left: My Gals @ceodancers Killed it as usual! @2faceidibia1 THE YOUNG LEGEND … Wycleff Jean Shut it Down! And my girl @vanessamdee Made me Proud! She repped East Africa well #Nigeria #Tanzania #Haiti #SouthAfrica #Kenya #RhythmUnplugged” aliandika Victoria.
Rhythm Unplugged ni show iliyofanyika Jumapili iliyopita Lagos, Nigeria na kuwakutanisha wasanii wakubwa wa Naija katika jukwaa moja wakiwemo 2Face, P-Square, WizKid, D’Banj, Davido na wengine. Host wa show hiyo kwa mwaka huu alikuwa nyota wa kimataifa Wyclef Jean.




Comments

Popular posts from this blog