ANGALIA PICHA ZA VURUGU ZA WAFUGAJI NA WAKULIMA YALIOTOKEA MALINYI ULANGA

 Kituo cha Polisi Kilichovamiwa na wananchi ambapo Walifanya uharibifu mkubwa wa mali pamoja na kuchoma moto gari moja lilokuwa kituoni hapoa na katika vurugu hizo  watu watau walifariki dunia 

 Picha ya mmoja wa marehemu kutokana na Vurugu za wafugaji na wakulima ambapo wananchi walitaka kuvamia kituo cha polisi malinyi.Katika vurugu hizo watu watatu walipoteza maisha.CHANZO MATUKIO BLOG


Comments

Popular posts from this blog