BABY MADAHA AZINDUA RASMI PERFUME NA MIFUKO YENYE NEMB



Baby Madaha ambaye ni actress wa Swahiliwood na pia muimbaji wa bongofleva ambaye hivi karibuni alisainishwa mkataba nchini Kenya na kampuni ya Candy n Candy Records amepiga hatua zaidi kwa kuzindua perfume na mifuko yenye nembo na jina lake ambyo imeanza kuuzwa rasmi nchini Kenya ambako ana mashabiki wengi. Baby Madaha ambaye kwasasa anatamba na nyimbo za Squeeze It na Summer Holiday alisema kuwa perfume na mifuko hiyo itaingia Tanzania pia muda si mrefu. Hongera sana Baby Madaha kwa kutanua wigo wako wa kujiongezea kipato. Angalia baadhi ya picha wakenya wakiwa na bidhaa hizo za Madaha



- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/10/baby-madaha-azindua-rasmi-perfume-na.html#sthash.iC2G2qf5.dpuf

Comments

Popular posts from this blog